Numbers 9:2-3

2 a“Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa. 3 bAdhimisheni wakati ulioamriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote na masharti yake.”

Copyright information for SwhKC